Habari za Mikoani
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kumekuwa na ongezeko la ufanisi katika matumizi ya rasilimali za Serikali katika miaka ya hivi karibuni hali ina [...]
RAIS DKT. SAMIA ASEMA KUMEKUWA NA ONGEZEKO LA UFANISI KATIKA RASILIMALI ZA SERIKALI MIAKA YA KARIBUNI.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kumekuwa na ongezeko la ufanisi katika matumizi ya rasilimali za Serikali katika miaka ya hivi karibuni hali inay ....
GST YAFANYA MAGEUZI MAKUBWA SEKTA YA MADINI
Dodoma Mafanikio ya Miaka Minne ya Serikali ya Awamu ya Sita 2021-2025 Katika kipindi cha miaka minne cha Serikali ya Awamu ya Sita, Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) ime ....
MAJALIWA AAGIZA: SERIKALI INATOA FEDHA, SIMAMIENI MANUNUZI YA DAWA
Mwanga,Kilimanjaro WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewaagiza Waganga Wakuu wa Mikoa na Wilaya wasimamie vema fedha za ununuzi wa dawa zinazotolewa na Serikali na kuhakikisha zahanati na vituo vyo ....
KONGAMANO LA KIIMANI KWA VIONGOZI WA SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt , Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itahakikisha kuwepo kwa Utii wa Viongozi katika Utendaji wa Taasisi za Umma Ili kuepusha Mifarak ....
WAFANYABIASHARA TUENDELEE KUWA NA IMANI NA RAIS SAMIA -MAJALIWA
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amezitaka jumuiya za wafanyabiashara nchini kuendelea kuwa na imani na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwani amedhamiria kutatua changamoto zinazohusu mas ....
INEC YAONGEZA SIKU UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA DAR
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza kuongeza siku mbili zaidi za zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Mkoani Dar es Salaam ambapo sasa zoezi hilo litamalizika Machi 25 ....
WIZARA YA UJENZI YAWASILISHA KWA KAMATI TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA BAJETI YA MWAKA WA FEDHA 2024/25
Dodoma Wizara ya Ujenzi imewasilisha taarifa ya utekelezaji wa Mpango na Bajeti kwa mwaka wa fedha 2024/2025 na makadirio ya Mpango na Matumizi kwa mwaka wa fedha 2025/26 kwa Kamati ya Kudumu ....
WAZIRI KIKWETE: VYAMA VYA WAFANYAKAZI NI NGUZO YA MAHUSIANO MEMA YA KAZI MAHALI PA KAZI
Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema Vyama vya Wafanyakazi ni nguzo muhimu katika kujenga mahusiano yenye tij ....
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YAPONGEZA UJENZI WA JENGO LA WIZARA YA NISHATI – MTUMBA
Dodoma ▪️Ujenzi wafikia 94% Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imekagua ujenzi wa jengo la Wizara ya Nishati katika mji wa Serikali Mtumba na kuipongeza Wizara kwa hatua ....
WAKAGUZI WASAIDIZI WA MADINI PAMOJA NA WASIMAMIZI WA MADINI UJENZI NA VIWANDANI WAFUNDWA
Dodoma WASIMAMIZI wa madini ujenzi pamoja na wakaguzi wasaidizi wa madini wametakiwa kufanya kazi kwa ufanisi na kuhakikisha wanafuata taratibu na sheria za nchi kati ....