MRADI WA MCHUCHUMA NA LIGANGA KILIPWA FIDIA YA BILIONI 15 YALIPWA
Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka- amefanya ziara ya Kimkakati Wilayani Ludewa iliyolenga kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa Wilayani humo sambamba na kusikiliza na kutatua kero z [...]
MAJALIWA: MICHEZO NI NYENZO MUHIMU INAYODUMISHA AMANI
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema ushirikiano katika michezo ni nyenzo muhimu katika kudumisha diplomasia na amani miongoni mwa nchi washirika wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (CISM). ....
SERIKALI HAITOZI KODI WANAOBEBA MIZIGO BINAFSI KATI YA TANZANIA BARA NA ZANZIBAR
Serikali imesema kuwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) haitozi kodi kwa wasafiri kati ya Zanzibar na Tanzania bara wanaobeba vitu kwa matumizi binafsi. Hayo yameelezwa bungeni, jijini Dod ....
WAZIRI JAFO AKIZUNGUMZIA MAFANIKIO YA MKUTANO WA NISHATI SAFI A KUPIKIA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amesema ajenda ya kutumia nishati safi ya kupikia ni ya muhimu ili kuokoa maisha ya watu na mazingira.&nb ....