RAIS DKT. SAMIA ASEMA KUMEKUWA NA ONGEZEKO LA UFANISI KATIKA RASILIMALI ZA SERIKALI MIAKA YA KARIBUNI.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kumekuwa na ongezeko la ufanisi katika matumizi ya rasilimali za Serikali katika miaka ya hivi karibuni hali ina [...]