RAIS DKT. MWINYI AFUNGUA JENGO JIPYA NA LA KISASA LA AFISI KUU YA TUME YA UCHAGUZI YA ZANZIBAR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amezindua rasmi Jengo jipya na la kisasa la Afisi Kuu ya Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) lililopo Maisa [...]
MRADI WA KITUO CHA KUPOZA UMEME KILOLENI MKOANI TABORA UMEFIKIA ASILIMIA 80 -MD TWANGE
Tabora Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO Bw. Lazaro Twange amefanya ziara ya kukagua maendeleo ya utekelezaji wa Mradi wa kituo cha kupoza umeme cha Kiloleni kilichopo Mkoani Tabora ambapo amesem ....
RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN ASEMA TANZANIA ITAENDELEZA, KUKUZA NA KUDUMISHA UHUSIANO WA KIDUGU KATI YAKE NA MUUNGANO WA VISIWA VYA COMORO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania itaendeleza, kukuza na kudumisha uhusiano wa kidugu kati yake na Muungano wa Visiwa vya Comoro, ikiwa ni ....
MAKAMU WA RAIS AWASILI NCHINI HISPANIA KUMWAKILISHA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango, leo tarehe 29 Juni 2025 amewasili nchini Hispania ambapo anatarajiwa kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanz ....