WAZIRI MKUU AONGOZA MKUTANO WAKAZI WA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Mei 07, 2024 ameongoza Mkutano wa kazi wa Mawaziri na Naibu Mawaziri uliofanyika kwenye ukumbi wa Hazina, jijini Dodoma. Kikao hicho pia kimehudhuriwa na Naibu [...]
BASHUNGWA ATUMIA HELIKOPTA KUKAGUA UREJESHAJI WA MAWASILIANO YA BARABARA YA DAR – LINDI.
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa akiwa kwenye Helikopta akikagua na kujionea kazi ya urejeshaji wa mawasiliano ya barabara ya Lindi – Dar es Salaam iliyoathiriwa na mvua iliyoambatana na K ....
MADAKTARI BINGWA WA RAIS SAMIA WATASAIDIA KUPUNGUZA VIFO VYA WATOTO WACHANGA
Mpango kabambe wa madaktari bingwa wa Dkt. Samia utasaidia kupunguza vifo vya watoto wachanga kwa kuwajengea uwezo watoa huduma wengine katika Hospitali za Halmashauri kwa kuwa dhamira ya Seri ....
WATAALAMU WA VINASABA TUMIENI TEKNOLOJIA,WELEDI UWE KIPAUMBELE KWENYE MAJUKUMU YENU: DKT. JINGU
Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. John Jingu, ametoa rai kwa kamati ya kitaalamu wanaofanya uchunguzi wa Vinasaba vya Binadamu kuzingatia matumizi ya teknolojia huku wakizingatia wele ....