RAIS SAMIA AZUNGMZA NA BALOZI WA MISRI ALIYEMALIZA MUDA WAKE
Published on: 18 hours ago

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa kwenye mazungumzo na Mhe. Sherif Ismail, Balozi wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri anayemaliza muda wake nchini Tanzania, Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 28 Agosti, 2026.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Mhe. Sherif Ismail, Balozi wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri anayemaliza muda wake nchini Tanzania, Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 28 Agosti, 2026.


Unataka kutuma habari? Submit on tuma kwetu kupitia info@kigogomedia.com au WhatsApp 07000000

