Habari za Mikoani
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania ina nafasi kubwa ya kuwa kituo kikubwa cha biashara barani Afrika kutokana na rasilimali na fursa ilizonazo [...]
KIGOMA KUWA KITOVU CHA FURSA ZA BIASHARA BAADA YA UJENZI WA SGR TABORA–KIGOMA : RAIS SAMIA ABAINISHA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania ina nafasi kubwa ya kuwa kituo kikubwa cha biashara barani Afrika kutokana na rasilimali na fursa ilizonazo. ....
WAZIRI MAVUNDE AANZA ZIARA RASMI KUKAGUA SHUGHULI ZA MAENDELEO NA KUCHOCHEA SHUGHULI ZA KIUCHUMI MKOANI GEITA*
▪️ Waziri Mavunde ni Mlezi wa shughuli za kimaendeleo mkoani Geita ▪️ Akagua mradi wa maji wa Bilioni 40 ambao utanufaisha watu 185,000 ▪️ Akagua mradi wa vijana wa ujenzi wa kiwanda cha kuchenju ....
VIJANA 400 WAPEWA LESENI ZA UCHIMBAJI MADINI WILAYANI KWIMBA MKOANI MWANZA.
▪️Ni Maelekezo ya Rais Samia kufuta Leseni zisizo fanyiwa kazi na kuwapa wachimbaji wadogo ▪️Ni Leseni kubwa ya Utafiti (Ekari 5,441) iliyofutwa na kurudishwa Serikalini ▪️Waziri Mavunde aelekeza ....
RAIS MWINYI NA WAKANDARASI WA SEKTA YA UJENZI ZANZIBAR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Ali Mwinyi ameizindua Jumuiya ya Wakandarasi wa Sekta ya Ujenzi Zanzibar na kuahidi Serikali kuendelea kushirikiana na Wadau w ....
TARURA YATEKELEZA MIRADI MIKUBWA YA MIUNDOMBINU YA BARABARA YA BILIONI 302.95
Dodoma ▪️Katika kipindi cha Miaka Minne Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor Seff amesema katika kipindi cha miaka minne (4) ya Serikali ya ....
RAIS DKT. SAMIA YUPO TAYARI KUFANYA MAMBO MAKUBWA KWA WENYE ULEMAVU-MAJALIWA
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan yupo tayari kuendelea kufanya mambo makubwa kwa watu wenye ulemavu ili kukuza ustawi wa jamii hiyo kwa kuwawezesha kushi ....
MAJALIWA ATAKA MIKAKATI ZAIDI MATUMIZI YA
NISHATI SAFI KWENYE MAGEREZA. *Asema Rais Dkt. Samia ameonesha njia kwenye matumizi ya nishati safi. *Alipongeza Jeshi la Magereza kwa kuanza kutekeleza kwa vitendo matumizi ya nishati safi. W ....
MRADI WA TACTIC WAIMARISHA HUDUMA ZA USAFIRI NA USAFIRISHAJI MANISPAA YA SUMBAWANGA
Sumbawanga, Rukwa ▪️ Mradi wa Uendelezaji Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC) unaelezwa kuimarisha huduma za usafiri na usafirishaji katika Halmashauri ya Manispaa ya Su ....
RAIS DKT. MWINYI AFUNGUA JENGO JIPYA NA LA KISASA LA AFISI KUU YA TUME YA UCHAGUZI YA ZANZIBAR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amezindua rasmi Jengo jipya na la kisasa la Afisi Kuu ya Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) lililopo Maisar ....
RAIS MWINYI NA AFRICA SUMMIT 2025
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt, Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar itaendelea kuwa daraja muhimu la kuiunganisha Afrika na Ulimwengu katika masuala y ....











