RAIS MWINYI AMTEMBELEA MZEE GAVU
Published on: 11 hours ago
Mkoa wa Kusini Unguja
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi, amemtembelea Mzee Haji Ussi Haji Gavu, Mwenyekiti Mstaafu wa CCM wa Mkoa wa Kusini Unguja, nyumbani kwake Michamvi Msuakini, Wilaya ya Kusini, Mkoa wa Kusini Unguja.
Rais Dk. Mwinyi ameendelea na utaratibu wake wa kuwatembelea na kuwafariji wananchi katika maeneo mbalimbali.
:21 Septemba 2024
Unataka kutuma habari? Submit on tuma kwetu kupitia info@kigogomedia.com au WhatsApp 07000000