MATUKIO KATIKA PICHA LEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa ndani ya Meli ya MV Kilimanjaro 8 alipokuwa akisafiri kutokea Visiwani Zanzibar akielekea Jijini Dar es salaam  tarehe 28 Novemba, 2023.  

PICHA NA IKULU MAWASILIANO

Unataka kutuma habari? Submit on tuma kwetu kupitia info@kigogomedia.com au WhatsApp 07000000