BUNGE LARIDHIA MAREKEBISHO YA MPAKA WA HIFADHI YA TAIFA NYERERE.
Bunge limeridhia ombi la Serikali la kumega sehemu ya Hifadhi ya Taifa ya Nyerere kwa lengo la kutatua migogoro ya mipaka na kuwezesha shughuli za maendeleo kuendelea katika mazingira rafiki [...]
RAIS MWINYI ATUNUKU KAMISHENI KWA MAAFISA WAPYA WA IDARA MAALUM ZA SMZ
Zanzibar Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, ambaye pia ni Kamanda Mkuu wa Idara Maalum za SMZ, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewatunuku Kamisheni Maafisa ....
RAIS DKT. SAMIA AMEKUWA KIONGOZI WA KUFANIKISHA MAENDELEO NCHINI-MAJALIWA
Asema ni Rais Dkt. Samia ni Mwalimu wa subira na kielelezo cha ujasiri. Asisitiza utendaji wa Rais Samia umeiheshimisha Tanzania ndani na nje ya nchi. Awapongeza watendaji wa Serikali kutekele ....
MAKAMU WA RAIS ATEMBELEA KITUO CHA UMAHIRI CHA MATIBABU CHA AFRIKA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amepongeza uwepo wa kituo cha Umahiri cha Matibabu cha Afrika (AMCE) ambacho amesema kitakua mfano kwa bara la Af ....